News

Idadi ya watu duniani yafikia bilioni 7

01/11/2011 07:05
Idadi ya watu Duniani imefikia bilioni 7 Jumatatu na kupelekea kuwepo na sherehe na wasi wasi wakati mmoja kutokana na namna watu zaidi wanavyo athiriwa na rasilimali ya dunia inayopungua. Umoja wa Mataifa ulichagua Octoba 31 kuwa siku ya kuadhimisha tukio hili la...

HOT NEWZ...............UNYAMA UNYAMA MZEE WA MIAKA 60 LUDEWA ACHOMWA MOTO KWA IMANI ZA KISHIRIKINA

01/11/2011 06:20
  mwili wa marehemu mzee Laurance Nkwera Umati wa Wananchi waliofika kushuhudia tukio hilo wakiwa wamemshikilia dada wa marehemu aliyekuwa akilia huku akimlaumu marehemu kaka yake kwa kujihisisha na uchawi na kukataa ushauri wake.   MTU MMOJA aitwaye Laurance...

Kim Kardashian awasilisha maombi ya talaka!

01/11/2011 06:14
   Watu wengi pengine mtajiuliza kunani Hollywood? wengine mtasema ndio kawaida yao na wengine watasema inabidi umjue mtu kwa muda kabla hujaamua kufunga ndoa . Na ikiwa ni wiki 10 tu tangu alipoolewa kwa ndoa ya fahari ya hali ya juu hatimaye amewasilisha maombi ya talaka...

Mbunge wa Arusha mjini kuamua kwenda rumande ni ushupavu au kutafuta umaarufu?

01/11/2011 00:55
Katika hatua isiyokuwa ya kawaida mbunge wa Arusha mjini kupitia tiketi ya Chadema Godbless Lema aliamua kwa hiari yake kwenda lupango (rumande) baada ya kusomewa mashitaka matano yanayomkabili. Nikiangalia jambo hili najiuliza wanasiasa kadhaa walipata umaarufu mkubwa baada ya kuwa na...

Zitto aeleza kinachomsibu

31/10/2011 10:33
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe amebainisha tatizo linalomsibu akisema madaktari wamemweleza kwamba anasumbuliwa na ugonjwa wa kipanda uso unaofahamika kitalaamu kama sinusitis ambao kwa hatua uliokuwa umefikia, tiba yake isingepatikana nchini.Kutokana na kubainika kwa...
Items: 1 - 5 of 17
1 | 2 | 3 | 4 >>

Amazing Rock Restaurant in Tanzania

Amazing seafood restaurant is located on a rock near the Michanwi Pingwe beach in Zanzibar, Tanzania.
Customers of the Rock Restaurant are able to eat delicious food on the terrace and enjoy beautiful views of the Indian Ocean.

Kuelekea Miaka 50 ya Uhuru, Nini kifanyike kwa Tanzania Bora!

Огромный выбор

Date: 17/08/2020 | By: GeorgeJuise

#Hookahmagic
Мы всегда с Вами и стараемся нести только позитив и радость.
Ищите Нас в соцсетях,подписывайтесь и будьте в курсе последних топовых событий.
Строго 18+

Кальянный бренд Фараон давно завоевал сердца ценителей кальянной культуры вариативностью моделей кальянов,
приемлемым качеством и низкой ценовой политикой. Именно эти факторы играют главную роль в истории его успеха. Не упускайте очевидную выгоду и вы! Заказывайте кальян Pharaon (Фараон) 2014 Сlick в интернет-магазине HookahMagic и оформляйте доставку в любой регион РФ. Мы гарантируем быструю доставку и высокое качество предоставляемой продукции.

https://h-magic.su/adalia
Удачных вам покупок!

Uboreshaji wa elimu na Utandawazi

Date: 24/10/2011 | By: Halima Soud Al Haad

Hello Kitaani,
Ili kuwa na Tanzania Bora, Serikali iangalie upya suala la uboreshaji wa sekta ya elimu na utandawazi ili kuendana na teknolojia mpya.

Shule za kata hazina walimu na uongozi wake haueleweki, sambamba na Wanafunzi kujifunza teknolojia kwa chaki darasani..inapaswa tubadilike! Tuboreshe Ubora wa elimu ili tupate wataalamu wa kusaidia nchi yetu!

New comment